BATTLE TV
@battletv_tz
Mabishano ya kishabiki vijiweni mtaani kimichezo burudani kuhusu watu na vitu unavyo vipenda utavipata hapa battletv/ yaani huyu na huyu nani zaidi timu hii na hii ipi noma njoo ubishane ndani ya battletv hapa ni burudani tu hakuna kumchafua mtu bali tunaendeleza utani wa jadi subscrib battle tv ufurahie maisha yako
FOLLOWERS
173K
AVG. VIEWS
16.3K
High Perf.ENGAGEMENT
1.32%
Avg: 4.5%MONTHLY POSTS
25
ConsistentVIDEOS
155
ActiveEST. PRICE
UNLOCKSimilar Creators
Verified 2 days agoKANUNI NA MUONGOZO YA AHADI TV Ahadi TV Online ni chombo cha habari kinachozingatia weledi na maadili yanayoongoza katika tasnia ya habari. Tumejikita katika kuripoti taarifa zote za kijamii ikiwemo habari za kitaifa, kimataifa, michezo, burudani n.k. Tunazingatia misingi ya uhariri katika habari kwa kufuata yafuatayo: i. Kuripoti habari za ukweli wakati wote ii. Kusaidia kurekebisha taarifa zilizopotoshwa kwa jamii ili kuwapa ukweli wafuatiliaji wetu kwa wakati sahihi. iii. Kufuata kanuni na misingi ya habari kwa kuripoti habari zenye uwiano na kutoa fursa sawa kwa pande zote MUONGOZO: Wafuasi wetu (subscribers) i.Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake ii. Ahadi TV ina uhuru wa kufuta maoni yoyote yasiyo na maadili au yenye lugha chafu iii. Ahadi TV ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni. iv. Ahadi TV haitahusika moja kwa moja na maoni yatolewayo na wafuasi wetu ikiwemo lugha zisizofaa n.k
Maulid Kitenge ni mtangazaji mahiri wa habari za michezo kutoka Tanzania na Mkurugenzi Mkuu wa Kitenge Media. Mtumiaji mahiri wa mitandao ya kijamii, Instagram, Twitter na Facebook. Kaa Karibu uhabarike.
Welcome To the Official Channel of M15- TV Get all the Videos about Sports, Interviews & More MUNGU | JUHUDI | NIDHAMU.
*Karibu* Zinjibar tv. Fahari ya Zanzibar*
WISPOTI TV NI JUKWAA LA HABARI, MICHEZO NA BURUDANI.
Karibu kwenye Future TV Online, nyumbani kwa majadiliano yenye tija, busara, na mafundisho ya kijamii. Chini ya uongozi wa Sudi Dahala (Mr. Future), channel hii imejikita katika kuleta mabadiliko chanya ndani ya jamii yetu kupitia elimu ya mahusiano, malezi, na maadili. Tunachokifanya hapa: Future TV Podcast: Mijadala ya kina na wataalamu na watu wenye stori za kusisimua kuhusu maisha na mafanikio. Elimu ya Mahusiano: Kuchambua alama za hatari (Red Flags) na alama chanya (Green Flags) ili kujenga familia imara. Mwenendo wa Jamii: Mahojiano ya mitaani (Street Interviews) kupata maoni ya wananchi kuhusu changamoto za kila siku. Maadili na Busara: Mafundisho yanayolenga kukuza utu na heshima katika jamii yetu ya Kitanzania. Ikiwa wewe ni mdau wa maendeleo ya kijamii, mpenzi wa podcast zenye mafunzo, au unatafuta mwongozo wa kisaikolojia basi usiache KUSUBSCRIBE Wasiliana nasi: 📧 futuretz002@gmail.com ] 📱 Instagram: @FutureTVOnline / @SudiDahala 📍 Location: Tanzania
Ukweli Ni Hapa
HOME OF SPORTS