MICHUZI INTERVIEWS
@issa_michuzi
Tanzania Sights & Sounds & Interviews of Prominent Tanzanians at home and abroad
FOLLOWERS
88.4K
AVG. VIEWS
60
High Perf.ENGAGEMENT
0%
Avg: 4.5%MONTHLY POSTS
0
ConsistentVIDEOS
52
ActiveEST. PRICE
UNLOCKSimilar Creators
Verified 2 days agoNYIKANI is the online media that brings different current affairs like political issue, environment, community etc. Our aim is to outline news for the society who have different ploblems #voiceforvoiceless
KANUNI NA MUONGOZO YA AHADI TV Ahadi TV Online ni chombo cha habari kinachozingatia weledi na maadili yanayoongoza katika tasnia ya habari. Tumejikita katika kuripoti taarifa zote za kijamii ikiwemo habari za kitaifa, kimataifa, michezo, burudani n.k. Tunazingatia misingi ya uhariri katika habari kwa kufuata yafuatayo: i. Kuripoti habari za ukweli wakati wote ii. Kusaidia kurekebisha taarifa zilizopotoshwa kwa jamii ili kuwapa ukweli wafuatiliaji wetu kwa wakati sahihi. iii. Kufuata kanuni na misingi ya habari kwa kuripoti habari zenye uwiano na kutoa fursa sawa kwa pande zote MUONGOZO: Wafuasi wetu (subscribers) i.Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake ii. Ahadi TV ina uhuru wa kufuta maoni yoyote yasiyo na maadili au yenye lugha chafu iii. Ahadi TV ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni. iv. Ahadi TV haitahusika moja kwa moja na maoni yatolewayo na wafuasi wetu ikiwemo lugha zisizofaa n.k
Ngasa Tv - News & Politics | TZ | 119K followers
Jamii Digital Live ni channel ya YouTube inayolenga kutoa uchambuzi wa kina wa siasa, maendeleo ya jamii, na matukio ya sasa nchini Tanzania na Afrika kwa ujumla. Tunakusudia kuwa sauti ya watu, tukileta ukweli unaohitajika ili kuelimisha na kuhamasisha wananchi kuhusu masuala muhimu ya kitaifa. Hapa utaona: Uchambuzi wa siasa za sasa na sera za serikali Ripoti na maoni ya jamii kuhusu maendeleo na changamoto Mijadala na mahojiano na viongozi, wanaharakati, na wananchi Video za moja kwa moja za matukio muhimu (Live) Jiunge nasi, toa maoni yako, na uwe sehemu ya sauti ya kweli ya wananchi!
Bongo Source: Ni chombo cha upashaji wa Habari chenye kufuata misingi na taratibu za taaluma ya habari na mawasiliano, kwa kuzingatia kanuni na sheria zilizopo za upashanaji wa habari nchini Tanzania. Bongo Source inahusika na upashanaji wa habari mbalimbali zikiwemo, Siasa, Jamii, Dini, Burudani pamoja na Michezo. Bongo Source: It is an information sharing tool that follows the principles and procedures of the information and communication profession, based on the existing rules and laws of information sharing in Tanzania. Bongo Source deals with the sharing of various news including, Politics, Society, Religion, Entertainment and Sports.
WAKILI TV, ni Television ya mtandaoni (Online TV) inayomilikiwa na Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), kwa lengo la kutumika kama njia ya kutolea elimu, muongozo na tafsri ya sheria kwa wananchi na wadau mbalimbali ili kuwapa uelewa wa sheria katika lugha nyepesi na kuifanya jamii iishi kwa mujibu wa sheria za nchi yetu ya Tanzania.
●Karibu gumzoni! channel yako namba moja kwa Top 10, Burudani, na Habari moto moto. Tunakuletea maudhui ya kipekee na ya kusisimua yanayokupa mtazamo mpya juu ya masuala yanayoendelea. ●Jiunge nasi kwa safari ya kugundua mambo ya ajabu na ya kufurahisha kutoka Tanzania na duniani kote. Usisahau ku-subscribe ili usipitwe na lolote linalotokea #gumzoni
Welcome to Mawengi TV – your ultimate destination for the latest in sports, politics, and hard-hitting news! Stay informed and entertained as we bring you in-depth analysis, breaking stories, and exclusive coverage on the issues that matter most. Whether it's the world of sports, the political landscape, or the most important global events, Mawengi TV has you covered. Don’t forget to like, share, and subscribe to stay up-to-date with all things. kwa mawasiliano zaidi piga:0785 829 800
📩 View Contact Info
Get direct access to MICHUZI INTERVIEWS's management team.