MwanaHALISI TV
@mwanahalisitv
MwanaHALISI TV is owned by Hali Halisi Publishers Company, a Tanzanian registered company dealing with publishing Swahili newspapers, known as MwanaHALISI, MAWIO and MwanaHALISI Online.
FOLLOWERS
383K
AVG. VIEWS
1.3K
High Perf.ENGAGEMENT
0.8%
Avg: 4.5%MONTHLY POSTS
89
ConsistentVIDEOS
1011
ActiveEST. PRICE
UNLOCKSimilar Creators
Verified 2 days agoLinconmedia is an independent news platform and vibrant political forum dedicated to delivering fair, in-depth coverage of global politics and human rights.
East African number one Youtube channel for Entertainment news,Sports as well as Politics News owned By Matukio Online Tv KANUNI NA MUONGOZO Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi. NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
Sera ya Yuhoma Tv 2024 Hii Channel haifungamani na upande wowote wa kisiasa wala Kidini na inamilikiwa na watu binafsi *Mpenzi Mtazamaji wa Yuhoma Tv ,tunashukuru Sana kwa kutuamini lakini pia kufuatilia habari tunazozileta kwako kila siku na hakika umekuwa watu muhimu kwetu NOTE: 🚫 Ili kuendana na sheria za Nchi ni Rai yetu kwako kuzingatia Matumizi sahihi ya Lugha wakati unatoa maoni yako kuhusu Jambo lolote yasimuathili mwingine 🚫Ni Marufuku kumtukana mtu kwa Namna yeyote ile ,usimshambulie mtu kwa sababu ya tofauti za kisiasa ,kiuchumi hata kielimu kwakuwa Ni kukiuka sheria za Nchi na kwa yeyote tutakaye mbaini amefanya hivyo tutamripoti kwenye Vyombo vya sheria ili hatua zichukuliwe 🚫Ni Marufuku kuchapisha habari yeyote ambayo inalenga upotoshaji au udharirishaji wa Aina yeyote hatua zitachukuliwa zaidi.
KANUNI NA MUONGOZO Swahili Digital ni chombo cha Habari kinachozingatia weledi na Maadili yanayoongoza Tasnia ya Habari. Tumejikita katika kuripoti Matukio ya Siasa,Burudani Michezo na masuala ya Kijamii. Tunazingatia Misingi ya Uhariri katika Habari kwa kufuata yafuatayo: 1. Kuripoti habari za ukweli 2. Kusaidia kurekebisha Taarifa zilizopotoshwa ili kuwapa ukweli wafuatiliaji wetu 3. Kufuata misingi ya Habari kwa kuripoti Habari zenye uwiano na kutoa fursa sawa kwa pande zote 4. Kujiepusha na Udini, ukabila kufungamana na Chama chochote cha Siasa au mambo yoyote yanayoweza kusababisha uchochezi Muongozo kwa wafuatiliaji (subscribers) wetu 1. Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake 2. Swahili Digital ina uhuru wa kufuta maoni yasiyo na maadili au yenye matusi makali 3. Swahili Digital ina uhuru wa kupitia maoni kabla hayajaonekana na watu wote 4. Swahili Digital ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni
BONGO EAST - News & Politics | TZ | 195K followers
SMTV - People & Blogs, News & Politics | TZ | 303K followers
Karibu kwenye Future TV Online, nyumbani kwa majadiliano yenye tija, busara, na mafundisho ya kijamii. Chini ya uongozi wa Sudi Dahala (Mr. Future), channel hii imejikita katika kuleta mabadiliko chanya ndani ya jamii yetu kupitia elimu ya mahusiano, malezi, na maadili. Tunachokifanya hapa: Future TV Podcast: Mijadala ya kina na wataalamu na watu wenye stori za kusisimua kuhusu maisha na mafanikio. Elimu ya Mahusiano: Kuchambua alama za hatari (Red Flags) na alama chanya (Green Flags) ili kujenga familia imara. Mwenendo wa Jamii: Mahojiano ya mitaani (Street Interviews) kupata maoni ya wananchi kuhusu changamoto za kila siku. Maadili na Busara: Mafundisho yanayolenga kukuza utu na heshima katika jamii yetu ya Kitanzania. Ikiwa wewe ni mdau wa maendeleo ya kijamii, mpenzi wa podcast zenye mafunzo, au unatafuta mwongozo wa kisaikolojia basi usiache KUSUBSCRIBE Wasiliana nasi: 📧 futuretz002@gmail.com ] 📱 Instagram: @FutureTVOnline / @SudiDahala 📍 Location: Tanzania
Shirika la Habari la Afrika Mashariki
📩 View Contact Info
Get direct access to MwanaHALISI TV's management team.