Future TV Online
@futureonlinetz
Karibu kwenye Future TV Online, nyumbani kwa majadiliano yenye tija, busara, na mafundisho ya kijamii. Chini ya uongozi wa Sudi Dahala (Mr. Future), channel hii imejikita katika kuleta mabadiliko chanya ndani ya jamii yetu kupitia elimu ya mahusiano, malezi, na maadili. Tunachokifanya hapa: Future TV Podcast: Mijadala ya kina na wataalamu na watu wenye stori za kusisimua kuhusu maisha na mafanikio. Elimu ya Mahusiano: Kuchambua alama za hatari (Red Flags) na alama chanya (Green Flags) ili kujenga familia imara. Mwenendo wa Jamii: Mahojiano ya mitaani (Street Interviews) kupata maoni ya wananchi kuhusu changamoto za kila siku. Maadili na Busara: Mafundisho yanayolenga kukuza utu na heshima katika jamii yetu ya Kitanzania. Ikiwa wewe ni mdau wa maendeleo ya kijamii, mpenzi wa podcast zenye mafunzo, au unatafuta mwongozo wa kisaikolojia basi usiache KUSUBSCRIBE Wasiliana nasi: 📧 futuretz002@gmail.com ] 📱 Instagram: @FutureTVOnline / @SudiDahala 📍 Location: Tanzania
相似达人
2天前已验证Safari Guide/ wildlife photographer/ Conservationist Show casing the beauty of Tanzania through our eyes and culture experience..🇹🇿 Georgemramba2@gmail.com
Please subscribe and watch our videos without forgetting to share with friends and family instagram @ nastykidalen @Lennylen2021
Welcome to Shayvan TV, home of Fashion Icon
Enock Bella - East africa singer/songwriter. Subscribe to my channel for all my upcoming contents! Appreciate your support.
KANUNI NA MUONGOZO YA AHADI TV Ahadi TV Online ni chombo cha habari kinachozingatia weledi na maadili yanayoongoza katika tasnia ya habari. Tumejikita katika kuripoti taarifa zote za kijamii ikiwemo habari za kitaifa, kimataifa, michezo, burudani n.k. Tunazingatia misingi ya uhariri katika habari kwa kufuata yafuatayo: i. Kuripoti habari za ukweli wakati wote ii. Kusaidia kurekebisha taarifa zilizopotoshwa kwa jamii ili kuwapa ukweli wafuatiliaji wetu kwa wakati sahihi. iii. Kufuata kanuni na misingi ya habari kwa kuripoti habari zenye uwiano na kutoa fursa sawa kwa pande zote MUONGOZO: Wafuasi wetu (subscribers) i.Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake ii. Ahadi TV ina uhuru wa kufuta maoni yoyote yasiyo na maadili au yenye lugha chafu iii. Ahadi TV ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni. iv. Ahadi TV haitahusika moja kwa moja na maoni yatolewayo na wafuasi wetu ikiwemo lugha zisizofaa n.k
莫利德·基滕格是坦桑尼亚体育播音员,也是基滕格传媒的首席执行官。 他热衷于社交媒体,活跃于Instagram、Twitter和Facebook。敬请关注,获取最新资讯。
Karim Zuberi Rashid(1992 年 9 月 16 日出生),艺名 K2GA,是一位来自东非坦桑尼亚的音乐家(Bongo Flava)、录音艺术家、歌手和词曲作者,签约于 Kings Music Records 唱片公司。
DIRECTOR GOZI🎬 👉☎️ what's App +255 772124410 Call 📞 0628 839 410