MwanaHALISI TV
@mwanahalisitv
MwanaHALISI TV is owned by Hali Halisi Publishers Company, a Tanzanian registered company dealing with publishing Swahili newspapers, known as MwanaHALISI, MAWIO and MwanaHALISI Online.
相似达人
2天前已验证东非排名第一的娱乐、体育和政治新闻YouTube频道,由Matukuko Online TV所有。 规则与准则 我们根据本国新闻业的原则,报道娱乐、体育、电影和生活方式领域的名人动态。我们秉持客观公正的原则,报道平衡客观的新闻,不侵犯任何人的隐私,并避免任何可能引发社会混乱或煽动性言论。 注:我们有权删除不道德或包含严重侮辱性言论的评论。
Linconmedia is an independent news platform and vibrant political forum dedicated to delivering fair, in-depth coverage of global politics and human rights.
BONGO EAST - 新闻与政治 | TZ | 195K followers
Sera ya Yuhoma Tv 2024 Hii Channel haifungamani na upande wowote wa kisiasa wala Kidini na inamilikiwa na watu binafsi *Mpenzi Mtazamaji wa Yuhoma Tv ,tunashukuru Sana kwa kutuamini lakini pia kufuatilia habari tunazozileta kwako kila siku na hakika umekuwa watu muhimu kwetu NOTE: 🚫 Ili kuendana na sheria za Nchi ni Rai yetu kwako kuzingatia Matumizi sahihi ya Lugha wakati unatoa maoni yako kuhusu Jambo lolote yasimuathili mwingine 🚫Ni Marufuku kumtukana mtu kwa Namna yeyote ile ,usimshambulie mtu kwa sababu ya tofauti za kisiasa ,kiuchumi hata kielimu kwakuwa Ni kukiuka sheria za Nchi na kwa yeyote tutakaye mbaini amefanya hivyo tutamripoti kwenye Vyombo vya sheria ili hatua zichukuliwe 🚫Ni Marufuku kuchapisha habari yeyote ambayo inalenga upotoshaji au udharirishaji wa Aina yeyote hatua zitachukuliwa zaidi.
KANUNI NA MUONGOZO Swahili Digital ni chombo cha Habari kinachozingatia weledi na Maadili yanayoongoza Tasnia ya Habari. Tumejikita katika kuripoti Matukio ya Siasa,Burudani Michezo na masuala ya Kijamii. Tunazingatia Misingi ya Uhariri katika Habari kwa kufuata yafuatayo: 1. Kuripoti habari za ukweli 2. Kusaidia kurekebisha Taarifa zilizopotoshwa ili kuwapa ukweli wafuatiliaji wetu 3. Kufuata misingi ya Habari kwa kuripoti Habari zenye uwiano na kutoa fursa sawa kwa pande zote 4. Kujiepusha na Udini, ukabila kufungamana na Chama chochote cha Siasa au mambo yoyote yanayoweza kusababisha uchochezi Muongozo kwa wafuatiliaji (subscribers) wetu 1. Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake 2. Swahili Digital ina uhuru wa kufuta maoni yasiyo na maadili au yenye matusi makali 3. Swahili Digital ina uhuru wa kupitia maoni kabla hayajaonekana na watu wote 4. Swahili Digital ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni
SMTV - 人物与博客, 新闻与政治 | TZ | 303K followers
Karibu kwenye Future TV Online, nyumbani kwa majadiliano yenye tija, busara, na mafundisho ya kijamii. Chini ya uongozi wa Sudi Dahala (Mr. Future), channel hii imejikita katika kuleta mabadiliko chanya ndani ya jamii yetu kupitia elimu ya mahusiano, malezi, na maadili. Tunachokifanya hapa: Future TV Podcast: Mijadala ya kina na wataalamu na watu wenye stori za kusisimua kuhusu maisha na mafanikio. Elimu ya Mahusiano: Kuchambua alama za hatari (Red Flags) na alama chanya (Green Flags) ili kujenga familia imara. Mwenendo wa Jamii: Mahojiano ya mitaani (Street Interviews) kupata maoni ya wananchi kuhusu changamoto za kila siku. Maadili na Busara: Mafundisho yanayolenga kukuza utu na heshima katika jamii yetu ya Kitanzania. Ikiwa wewe ni mdau wa maendeleo ya kijamii, mpenzi wa podcast zenye mafunzo, au unatafuta mwongozo wa kisaikolojia basi usiache KUSUBSCRIBE Wasiliana nasi: 📧 futuretz002@gmail.com ] 📱 Instagram: @FutureTVOnline / @SudiDahala 📍 Location: Tanzania
Shirika la Habari la Afrika Mashariki