Scope Media
@scopemediatz
HOME OF SPORTS
FOLLOWERS
155K
AVG. VIEWS
29.4K
High Perf.ENGAGEMENT
1.21%
Avg: 4.5%MONTHLY POSTS
22
ConsistentVIDEOS
149
ActiveEST. PRICE
UNLOCKSimilar Creators
Verified 2 days ago©Simba Videos HD
KANUNI NA MUONGOZO YA AHADI TV Ahadi TV Online ni chombo cha habari kinachozingatia weledi na maadili yanayoongoza katika tasnia ya habari. Tumejikita katika kuripoti taarifa zote za kijamii ikiwemo habari za kitaifa, kimataifa, michezo, burudani n.k. Tunazingatia misingi ya uhariri katika habari kwa kufuata yafuatayo: i. Kuripoti habari za ukweli wakati wote ii. Kusaidia kurekebisha taarifa zilizopotoshwa kwa jamii ili kuwapa ukweli wafuatiliaji wetu kwa wakati sahihi. iii. Kufuata kanuni na misingi ya habari kwa kuripoti habari zenye uwiano na kutoa fursa sawa kwa pande zote MUONGOZO: Wafuasi wetu (subscribers) i.Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake ii. Ahadi TV ina uhuru wa kufuta maoni yoyote yasiyo na maadili au yenye lugha chafu iii. Ahadi TV ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni. iv. Ahadi TV haitahusika moja kwa moja na maoni yatolewayo na wafuasi wetu ikiwemo lugha zisizofaa n.k
Maulid Kitenge ni mtangazaji mahiri wa habari za michezo kutoka Tanzania na Mkurugenzi Mkuu wa Kitenge Media. Mtumiaji mahiri wa mitandao ya kijamii, Instagram, Twitter na Facebook. Kaa Karibu uhabarike.
Mabishano ya kishabiki vijiweni mtaani kimichezo burudani kuhusu watu na vitu unavyo vipenda utavipata hapa battletv/ yaani huyu na huyu nani zaidi timu hii na hii ipi noma njoo ubishane ndani ya battletv hapa ni burudani tu hakuna kumchafua mtu bali tunaendeleza utani wa jadi subscrib battle tv ufurahie maisha yako
*Karibu* Zinjibar tv. Fahari ya Zanzibar*
Welcome To the Official Channel of M15- TV Get all the Videos about Sports, Interviews & More MUNGU | JUHUDI | NIDHAMU.
The Zanzibar Broadcasting Corporation (ZBC) was established officially in 2013, after the House of Representatives passed a bill which was signed by the President of Zanzibar and Chairman Revolutionary Council, Ali Mohammed Shein on 19th April, 2013 as an Act number 4 of 2013. #zbczanzibar #zbc4change #zbctv
WISPOTI TV NI JUKWAA LA HABARI, MICHEZO NA BURUDANI.